BINTI WA MIAKA 28 ASIMULIA JINSI ALIVYOJENGA NYUMBA YAKE KWA MUDA MCHACHE HADI KUKAMILIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025

Комментарии • 831

  • @silviaahuga1847
    @silviaahuga1847 3 года назад +37

    Am 28 too but I have nothing dear but am strong now to start saving for my future house 🏡 love from Kenya dear

  • @jackiegogadi2997
    @jackiegogadi2997 3 года назад +12

    Hongera sana dada Juddy, hakika wewe ni binti mahiri sana, sina shaka na uwezo wako wa kufikiria mambo makubwa toka nimekufahamu na umekua mfano wa kuigwa katika mambo mengi sana na watu wote. Nayafurahia sana mafanikio yako, Mungu akubariki zaidi🙏.

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 3 года назад +9

    Hongera sana kpnz changu. Napenda watu wenye juhudi za maendeleo kama wewe mdogo wangu. Mungu azidi kukubariki. Na baadae uwe na mjengo mkubwa kuliko huu.

  • @josephineprosper852
    @josephineprosper852 2 года назад +5

    Hongera sana, watu wengi hufikiri kuwa msichana akijenga eti atakuwa na majivuno na hata olewa. Hayo ni mawazo hafifu na huwafanya mabinti wengi kushindwa kufanya vitu vikubwa. So mm nashauri mabinti wapambane na wafanye mambo makubwa waache dhana ya kuwa ukiwa na hiki huto olewa. Kuolewa kupo pale pale na Mungu akisema ndio hakuna wakusema hapana.

  • @sekelasiwezpekeyanguyesumw7974
    @sekelasiwezpekeyanguyesumw7974 3 года назад +17

    Hongera bint yangu ,Mungu akutunze pia kuhusu kusemwa unadanga isikupe shida angalia unavyofanya Kuna wengine ni wadangaji kupita maelezo lkn hawajafanya maendeleo yoyote ,Mungu akiandika yes hata watu wangeleta maneno hawawezi kuzuia riziki ya mtu ,wengine Hadi tuliitwa wachawi kwa ajili ya maendeleo lkn Mungu amesimama mpaka Sasa nauona mkono wa Bwana ,hongera Sana natamani hata binti zetu wakuige ulichofanya Mungu akiwajalia kipato hivyo tu

  • @everlinekikwesha2604
    @everlinekikwesha2604 3 года назад +15

    Hongera sana mdogo wngu,ni kweli kila kitu ni malengo!na ukiamua kufanya kitu unafanya.❤️🙏🤝

  • @rosegodson4633
    @rosegodson4633 3 года назад +19

    Me mbna nna 23 na numejenga yangu nilinunua kiwanja 18/12/2020 mpaka leo iko kwenye lenter na ni dar mpaka December inshallah nitamalzia na n kubwa

  • @annasanga2867
    @annasanga2867 3 года назад +41

    Nilijenga guest house vyumba 10 nikiwa kwenye nyumba ya kupanga, ilibadilisha kabisa maisha yangu. Hongera sana dada kupanga ni kuchagua

  • @ciciandjojo7701
    @ciciandjojo7701 3 года назад +8

    Hongera Sana. Maisha ni maamuzi. Unamtanguliza Mungu kwanza Kisha unaishi ndoto zako. Mimi nilijenganyumba ya vyumba 4 nikiwa na miaka 25. Ushauri hakuna hasiyeshindwa ni maamuzi tu. Sasa nawe anza hata chumba kimoja tu si ni chako. Mungu awe nawe 🤲🙌

    • @EmiliaFredinand
      @EmiliaFredinand 2 месяца назад

      Vp kipenzi hiyo ya vyumba 4 please maximum ina gharimu bei gani

  • @mugishanadia1910
    @mugishanadia1910 2 года назад +5

    Kanyumba kazuri Sanaa Mungu anatupenda wanawake, hata mini nimebarikiwa nyumba kila nikiitizama nasema Asante Mungu wangu

  • @joycemukya7405
    @joycemukya7405 3 года назад +12

    Very inspiring OMG.. hongera sana sana Judy!

  • @devothamedia5177
    @devothamedia5177 3 года назад +12

    Good job girl 😍😍😍 kweli kitu ni maamuzi tu nyumba nzuri hongera sana. Beauty with brain

  • @joanngatulile4687
    @joanngatulile4687 3 года назад +23

    Congratulations Judith😍😍👌👌Good job mamii na asante kwa kua inspirations kwa wengine!Barikiwa sana,🙏

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 3 года назад +12

    Huyo fundi ni mzuri sana. Mungu naomba nipe fundi wangu nakuomba

  • @annasamwel9316
    @annasamwel9316 3 года назад +26

    So inspiring and encouraging, hongera sana judith, you have paved and show us a way, it can be done.👏👏👏👏👏👏

    • @pauline6375
      @pauline6375 3 года назад +1

      Jamani naomba kujua gharama za nyumba kama hiyo

    • @zainabuhashim6916
      @zainabuhashim6916 3 года назад +2

      Hengraa chimami wanguuu hta mim naomba mungu anitimizie haj ya moyo wang

    • @timboxlee919
      @timboxlee919 3 года назад

      @@zainabuhashim6916 , Allah atakupa utajenga

    • @zainabuhashim6916
      @zainabuhashim6916 3 года назад +1

      Aminaaaaaaa am a christinian Mumy, hayaa hilooo jna tu la wazaz wangu lkn naitwa veronicaa.

  • @saphyelton4397
    @saphyelton4397 3 года назад +16

    Hongera sana... Utafika mbali... Unajitambua Sana Judy! May Almighty God take you to places

  • @julianakafuruki2495
    @julianakafuruki2495 3 года назад +10

    Hongera Sana dada this is my life time dream am 26 Nina mtt mmoja kila siku nawaza kumuachia urithi wa nyumban nikiwa bado napumua

  • @marthamasasi2648
    @marthamasasi2648 3 года назад +33

    Nilikua naisubiria kwa hamu zote hii clip, nyumba nzuri sana,

  • @annamagabe217
    @annamagabe217 3 года назад +8

    Hongera sana dada mie February naanza ujenzi am very inspired

  • @neemakilomoni4258
    @neemakilomoni4258 3 года назад +18

    Wow wow Mashallah 🤩 Hongera sana kwa age yako utafika mbali well done 👍🏾.Mwanamke akiamua anaweza tena zaidi ya mwanaume.

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 3 года назад +50

    Congrats mama mwenye nyumba hatamimi Nina umri wa 30 years nimefanikiwa kujenga kidimu wilaya ya kibaha nyumba ya 3 bedroom's jiko seblen darning na store kwa muda wa meezi 5

  • @jasiminjasimin7694
    @jasiminjasimin7694 2 года назад +2

    Wanawake tunaweza sanaa hongera sana my dear Mimi nimejifunza kujiteengemea tangia nikiwa biti mpaka sasa ni mama ninayerea wanagu kwa nguvu zangu naninajenga inshallah nitarud kwangu kwa hiyo kusema kumtengemea mwanaume nihakili ya mtu na kwa sasa sidhani kama Kuna mwanamke anamtengemea mwanaume mungu tupe hufahamu tupinge hatua wanawake kwa wasichana

  • @fakihdarusi4385
    @fakihdarusi4385 3 года назад +27

    Yaani bibie amenifanya nipotezee MB Safi sana. Sijapoteza umenitahidi sana ,kuna WADADA mjini wao wanawaza mawigi na makeup bar na vingine

  • @zehrarico1830
    @zehrarico1830 3 года назад +7

    MashaAllah umepambana Sana hapo kwene madirisha kutamu kumbe kuna aluminium na PVC asante Kwa kuniambia 😍😍😍😍

  • @prettyshani9767
    @prettyshani9767 3 года назад +15

    Nilimpenda na alini inspire kabla hata ya kumuona na baada ya kumuona na kumsikiliza amezidi kuni inspire na nimempenda zaidi 👏👏👏

  • @yvettemamuu3431
    @yvettemamuu3431 3 года назад +21

    Hongera Sana mdogo wangu , it is surely a clean house . Mungu , focus , hardworking , kujiamini na kuthubutu , inawezekana .

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 3 года назад +12

    Nyumba ina nyege 😁😁 kila unapofikia na hela ikikata unataka uendelee hata ukaibe 😁😁
    Hongera dada

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 3 года назад +22

    HAKIKA HII SIO AKILI YA KIBINADAMU NA UJANA NI MUNGU TUU NA MAOMBI YAMEMSAIDIAA JUDY .JUDY ONGERA SANA KWA KUMPENDA YESU KWA SABABU YESU ANAAKILI UKIMPENDA NA KUMUHESHIMU NA WEW UTAKUWA NA AKILI TUU
    UBARIKIWE SANA

    • @annaamanamassawe5291
      @annaamanamassawe5291 2 года назад

      Nimekupendaje umenifurahisha.natamani nije kwako niione jiko.no ya simu please.ubarikiwe

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад

      kabisa

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 Год назад

      Wakina judith tuna akili sana dada dina nipe zawadi na mimi naitwa judith nime mjengea mama yangu nyumba nzuri sana peke yangu sija ongwa ata mia moja nyumbwa kubwa sana kila kitu ndani na tank la maji lita 5000 nje

  • @karennimrod1527
    @karennimrod1527 3 года назад +27

    Huyu dada ana akili sanaa.. She has motivated me kiukweli.. wacha niendelee kupambanaa. the house is really beautiful 😍🙌🏻

  • @hellennkirote777
    @hellennkirote777 3 года назад +33

    Educating a girl is educating the whole society.kudos girl

    • @allthingdranabeauty
      @allthingdranabeauty 2 года назад

      Umehongea kam umesoma Greebird kirimanjaro ndio moto yao huu msap❤

  • @zaiyanaomar2512
    @zaiyanaomar2512 3 года назад +8

    Hongera sana kipenz allah akuzidishie kipato zayd ya hapo

  • @pendopendo7427
    @pendopendo7427 3 года назад +14

    Mashaallh nyumba yake nzur ukujibana unaweza tu ni wew mwenyewe kujinyima tu hongera dada mwenzetu narudia ten hongera sna🥰🥰🥰🥰🥰😍😍😍

    • @niwemugenimediatrice5640
      @niwemugenimediatrice5640 3 года назад +1

      Jaman mbona mm nimekuwa mjinga sanaaa😞Zaidi miaka 12 nafanya kazi lakin hata shuka sina.

    • @pendopendo7427
      @pendopendo7427 3 года назад +1

      @@niwemugenimediatrice5640 c kweli bhn hata shuka sasa pes zako unapelek wapi kwaiyo unalal bila kujifunika😒😒😒

    • @niwemugenimediatrice5640
      @niwemugenimediatrice5640 3 года назад

      @@pendopendo7427 Sijui!Hata nchini kwenu nilifanya miaka 7

    • @pendopendo7427
      @pendopendo7427 3 года назад

      @@niwemugenimediatrice5640 jaribu kuagalia matumiz yako au unapenda kula bata sna😀😀😀 au unasomesha kam unawatot au unaeza kuwa ni wew tu utaki kusev pes

    • @niwemugenimediatrice5640
      @niwemugenimediatrice5640 3 года назад +1

      @@pendopendo7427 we acha tu!

  • @leocadiabaranyikwa4047
    @leocadiabaranyikwa4047 3 года назад +37

    GOD,FOCUS, DISCIPLINE,HARD WORKING and TIME MANAGEMENT.

  • @paulsimon9171
    @paulsimon9171 3 года назад +5

    Hongera snaa dada mungu akubariki apo uliopo akupandsheee tena kwenye viwango vingine%%%

  • @Hancymtembo
    @Hancymtembo 3 года назад +9

    Mwanamke hodari Sana, wasiooa huyu anafaa kuitwa mama, na Kama Yuko hivi watoto watapata mama Bora.

  • @DianaJossam
    @DianaJossam 2 месяца назад +1

    Mi nlikua naomba Raman ya nyumba yake nimeipenda

  • @her_stories2130
    @her_stories2130 Год назад +2

    One day itakuwa mm…very inspirational❤

  • @rahelgodfrey3670
    @rahelgodfrey3670 3 года назад +7

    Nmekupenda sana Judith Umeniencourage sana.....Nmejifunza kitu kwako 🤝👏👏

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 3 года назад +8

    Mashaallah mashaallah mashaallah hongera dada mungu akuzidishie zaidi ya hapo🙏

  • @hawashemlugu6946
    @hawashemlugu6946 3 года назад +11

    Nikajikuta hela niliyo taka kununua cm nikaagiza tofati 200 ili nifanye jambo japo pole pole amenishawishi wanawake tunaweza kiukweli

  • @HadijaHassani-i8e
    @HadijaHassani-i8e Год назад +1

    Daaaah kweli duniani usijeukamzalau mtu juddy nakuaminia sana stakiii kuamini mungu akusaidie sana ni mpmbanajiii sana Toka mda na mungu kakusikia kilio chako

  • @tunusanga1175
    @tunusanga1175 3 года назад +16

    Congraturations my dear judith umenipa nguvu mnooo😂😋😍 lazima na mm nijenge kwangu your are blessed darling❤️

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 3 года назад +16

    Mfanisi majengo!!! hongeraaa mama!!

  • @dorakaloli6038
    @dorakaloli6038 3 года назад +2

    Hongera Sana binti Judy jasiri, shupavu na mchapa kazi umetuhamasisha Sana, ubarikiwe Sana Dina Kwa kutuandalia vitu vizur 😍😍😍

  • @mercykasyoka9416
    @mercykasyoka9416 3 года назад +5

    Wow. The best inspiration I got today.

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 3 года назад +14

    Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh ! MASHA ALLAH bint yangu kwa kuelimisha mabint kama wewe na wengine! Allah akuongoze kwa maisha yako, Na uwaombe wengine wapate kufanikiwa maishani Amin! Umeelezea vizuri bila chuki ! Allah wajalie na wengine wafaidike kupitia kwako Amin Amin

  • @achsahcharles6728
    @achsahcharles6728 3 года назад +22

    Anhaaa sasa hapa dada Dina tumeelewana, tulichokataa ni kwamba si kweli kwamba dada kajenga kwa kutumia Mshahara wake wa wastani, ni hicho tuuu!! So now tumeelewa dada alikua na side hustle nyingi tu which is very good, hesabu za kujenga kwa Mshahara wa wastani ndo zilikataliwa

    • @zakiamseka9698
      @zakiamseka9698 3 года назад +1

      Ukiamua unaweza

    • @angelajessala7633
      @angelajessala7633 3 года назад

      Kwa kweli.... yaan mshahara kama mshahara bila hustles zingine kujenga mmmmmmmmh hapana ...hapa atleast ameamua kuwa mkweli na anaweza kujenga hata zaidi ya hiyo kwa hizo hustles zake

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 3 года назад

      Kbs

  • @KHADIJAKHADIJA-ir6kf
    @KHADIJAKHADIJA-ir6kf 3 года назад +6

    MashAllah. I have seen this today for a reason, so help me Yarabbi.

  • @ruqayyahmohammed3188
    @ruqayyahmohammed3188 3 года назад +4

    Hongera zake kwa wingi mie mwenyew ni binti wamiaka22 na nanyumba ambayo naelekea kuimaliza hivi karibun Alhamdulillah sijambo dogo ila kukaza buti mungu hamtup mjawake

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 года назад +20

    Mashallah nimependa sanaaaa ninakiwanja na fondesheni tayari in shaa Allah nimejifunza kitu hapo hongera Sana

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 3 года назад +1

    Hongera sn Mrembo Nimekupenda bure,wee nikichwa sn 😍🔥🔥🔥💯

  • @happymilangasi5904
    @happymilangasi5904 3 года назад +20

    Hongera sana Judy, binafsi umeni inspire sana🙏🏾 thanks for sharing 📌❤️

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 года назад +9

    Mashallah hongera sana Judith tupatie mawasiliano ili tukupe tenda please 🇹🇿🇨🇭

  • @purelove8030
    @purelove8030 3 года назад +8

    Very inspiring Judith .I love a working woman

  • @chammaommy5934
    @chammaommy5934 3 года назад +17

    Hongera sana Judy you did it and I salute you girl! You have no idea umetuinspire kiasi gani kwa hili! Mungu akubariki sana na akuongezee palipopungua dada🥰🙏🏼

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 года назад +56

    Km umemsikiliza huyu binti na unamuamini gonga like hapa tafadhali🙏

  • @AngelAfrica-w5x
    @AngelAfrica-w5x 3 года назад +26

    Kujenga siyo mchezo, hata kanyumba kadogo tu siyo kazi ndogo, hongera judi

  • @AyoubShemmela
    @AyoubShemmela Год назад

    Mashaallah umepambana sana mama mjengo nimefurah sana niliposkia neno la pesa yoyote inathaman ata iwe 100 pia inathaman ni kweli thanks you dada umenishawisha sana asante

  • @Le_nezza
    @Le_nezza 3 года назад +6

    Hawa ndo Wake tunao wataka, Wenye Hesabu Kuhusu Maisha sio Ma Slayqueens wanopenda Bata Toka Januari mpaka December, Na iPhone za kila mwaka mawigi na High-heels.

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 2 года назад

    safi sana mdd allha anifanyie wepesi mpaka 2024 nimalize nyumba yangu maana majukumu kama unavyo sema yana tuangusha wengine mm kwetu mtt wa mwisho kwa mama lakini ndugu zangu awana uwezo wanapesa ya kula tu ss ukitokea ww unapata riziki ndugu akipata shida lazima atakuomba umsaaidie hila one lnshallha

  • @catherinekatuu423
    @catherinekatuu423 3 года назад +11

    congrats Judith,naamini ipo siku bado itakuja kuongezea hio nyumba Kwa uwezo wa Mungu.Such inspiring talk👏👏👏🔥🌞🙏🇰🇪.

  • @estherkawira2890
    @estherkawira2890 3 года назад +3

    This is beautiful, i keep repeating this video over and over,,,can u share ramani ya nyumba yako

  • @rosesariki6023
    @rosesariki6023 Год назад +2

    I love the choice of colours,The flower vases so admirable,Beauty with brains.

  • @abuujibriltv5233
    @abuujibriltv5233 Год назад +1

    Hongera sana. İla hapo Kwenye kibubu fanya siri kidogo.

  • @samsonpaschal5044
    @samsonpaschal5044 Год назад

    Hongera dada, vipi, naomba contacts za Mturuki anayekupa bei hadi ya installation

  • @elizabethbulabo8562
    @elizabethbulabo8562 3 года назад +2

    Uko vizuri dear,hata mm nipo kwenye mchakato kiwanja ninacho tayari.
    Umenipa hamasa Sana,
    barikiwa Sana.

  • @nicedavid8536
    @nicedavid8536 3 года назад +9

    Ongera sana, nyumba nzuri

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +16

    Ila nyumba ndogo zinakuwaga nzuri bhn weeee

  • @emmanuelterevael5766
    @emmanuelterevael5766 3 года назад +2

    Yaan ww dada nmekupenda sanaaa you really inspires

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 3 года назад +3

    Judy I really love you effort. May God bless you. My preasure to meet with u .even to make story of life . 😍 keep going momy.

  • @eunicesirikwa180
    @eunicesirikwa180 Год назад +1

    Hongera sana Binti, hela yako, elimu Yako, malezi Yako vyoote vimeonekana,. Mungu awabariki wazazi wako Kwa malezi mazuri.

  • @halimamis4236
    @halimamis4236 3 года назад +3

    Beauty with Brain😘😘Congratulation 👌💃👌

  • @uhurunyereremusa8592
    @uhurunyereremusa8592 3 года назад +2

    namba ya dada judy iko wapi kama tunaitaji huduma zake?? Hongera sana dada Judy

  • @mourinepaul3357
    @mourinepaul3357 3 года назад +2

    Hongera sana dada nyumba nzuri kwel

  • @eugenealumbe7374
    @eugenealumbe7374 3 года назад +1

    Am from kenya inspired with this gal

  • @vanevannesa7154
    @vanevannesa7154 3 года назад +2

    Please naomba no ya judy I want the house plan writing from Kenya

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 3 года назад +2

    Congratulation Judy, hongera mno , mno mama mjengo, hapo kwa kupeleka nyumba fasta n kweli , depend na majukum kbs

  • @salmakiyabosiriyamachoziha8756
    @salmakiyabosiriyamachoziha8756 3 года назад +6

    Hongera san san kwa kutupa mioyo na sisi.

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 3 года назад +13

    Her future is bright.....I love such wise woman.....

  • @glorysechu83
    @glorysechu83 3 года назад +11

    Hongera sana Judy,Very inspiring🙏🏼

  • @haisammariam2016
    @haisammariam2016 3 года назад +1

    Hongela dada angu mungu akuzidishie zaidi

  • @tamaraemmah6553
    @tamaraemmah6553 3 года назад +10

    Congrats Judith, INSHA'ALLAH MOLA anijalie nimalize yangu pia

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 3 года назад +5

    Congratulations my dghtr
    👏👏👏

  • @anastaziamuro822
    @anastaziamuro822 3 года назад +2

    Kwa kweli kikubwa ni Malengo. Hongera sana kwake. Umehamsisha vijana kuwa wanaweza

  • @devothamedia5177
    @devothamedia5177 3 года назад +6

    Your sooo humble 😘😘

  • @neemanyagawa9479
    @neemanyagawa9479 2 года назад +1

    Congratulations miss, Every thing is possible ukiwa na Yesu

  • @ZebedayoLazaro-y3z
    @ZebedayoLazaro-y3z Год назад

    Very motivating, hongera sana dada

  • @ahz6907
    @ahz6907 3 года назад +1

    Penye nia pana njia.Hongera dada👏👏👏

  • @luciasanga2613
    @luciasanga2613 2 года назад

    Nice 👍👍 hongera sana Judith namtaka huyo fundi anaoneka Yuko vizur.

  • @aminamfinanga8165
    @aminamfinanga8165 3 года назад +1

    Hongera Sana Judith.Nipo nyuma yko soon nitaanza 2022.love you

  • @mauwabanda2746
    @mauwabanda2746 Год назад

    Hongera best nyumba yako nimeipenda sana kamjengo kazur ina vyumba vingapi

  • @lucyjosephat6316
    @lucyjosephat6316 3 года назад +3

    Congratulations class mate

  • @mangulymanguly162
    @mangulymanguly162 3 года назад +5

    Hongera binti, uko tofauti na wale wanao waza kudanga tu

  • @sheilawessa3778
    @sheilawessa3778 3 года назад

    Hongera sana dada nyumba nzuri sana nimeipenda na mimi Mungu akinijalia nitajenga kama hiyo

  • @beatricendimbo5654
    @beatricendimbo5654 3 года назад +3

    Nimempenda bure huyu dada. So inspiring 💯

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 9 месяцев назад

    Hongera bint ukiwa huwazi ma cm makubwa na kushnda mtandaon lzm ufanikiwe mapema 🎉

  • @rachelkelembu5651
    @rachelkelembu5651 3 года назад +1

    Da Judith ahsante sana kwa kutufutisha vijana wa kike na wakiume ubarikiwe sana na MUNGU many

  • @sarahnyadzua1118
    @sarahnyadzua1118 3 года назад +5

    So inspiring...may Our Good Lord help us too🤲

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 3 года назад +3

    Dada hungera sana hata pia umenipa plan nzuri sana ya nyumbaa nakupa big up jamani tuache kukatishana tamaa sio kula mtu ana danga
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 3 года назад +1

    Dina Kwanza barikiwa Sana mama pia Judith mungu akubariki Sana my dear ww ni super woman 👩🏼 unatupa hamasa sana