SAMAHANI MAMA SHEIKH IZUDIN ALAWY AOMBA RADHI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 мар 2025
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 18

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 5 часов назад +2

    Masha Allah your we are all human shaikh much respect for you

  • @NdayishimiyeSubira
    @NdayishimiyeSubira 4 часа назад +1

    Allah atakulipa mazuri sheikh ww unaimani mashaallah

  • @fatmaabeid9668
    @fatmaabeid9668 16 минут назад

    Mashallah muungwana vitendo wewe ni shekh mzuri sana hakuna binaadam asokosea umefanya vizuri tupe darsa tunakupenda wataelewa ni waislamu wenzetu ishaallah kheri

  • @AhmedMohamed-d2w6g
    @AhmedMohamed-d2w6g 8 часов назад +2

    Mabroukin! Tuwe Nasubrah kwa kila jambo.❤❤❤❤❤❤

  • @JumaNassor-cj3zy
    @JumaNassor-cj3zy 7 часов назад +3

    Huyu muungwana sana sh izdn tumekusamehe tunakupenda mm machoz yananitoka kukuskia wamekufungia halafu umeemba radhi

  • @hamadkassim7818
    @hamadkassim7818 7 часов назад +2

    MashaAllah Sheikh wetu.Allah akuhifadh na huo ndio ushujaa.. Allah atujalie waislam tuwe kitu kimoja Kama ilivokuwa wakati wa Mtume wetu (s.a.w). Allah atujalie àamal Maakubul

  • @fatmaLubuva
    @fatmaLubuva 6 часов назад +1

    Allaahu akuhifadhi ktk Hali zote.Akhera na Dunia.

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv 9 часов назад

    Shukran sheihk 🙏💚💚💚

  • @BiSiriJafari
    @BiSiriJafari 8 часов назад

    Mwenyezimungu akupe kher

  • @issackhassan864
    @issackhassan864 8 часов назад

    Sheikh wetu ,May Allah protect and Guide you

  • @JanatiSwahili
    @JanatiSwahili 7 часов назад

    Ishaallah yataisha tuwe na subra

  • @ashaomari7465
    @ashaomari7465 8 часов назад

    Mwenyenzimungu atakupa subra

  • @ZamzamMgati
    @ZamzamMgati 7 часов назад

    Allah yu pamoja nawe

  • @Knamis
    @Knamis 15 минут назад

    Amna kiloxhofanyikan ni ushauri wa muhamad bachu aloutoa, ngoma imemalizw chini chini hio, ndo mana katakikan aje aombe radhi ili aonekane kama yy ndo amekosea, 7bu huyo ni mwenziwao

  • @KhamisFeysal-b9v
    @KhamisFeysal-b9v 5 часов назад

    Makosa ni kwa binadamu so hakuna shida

  • @yussufyussuf-n2i
    @yussufyussuf-n2i 6 часов назад

    Picha ya mama hpo ni unafiki wa wanahabari

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab 6 часов назад

    Umeongea Ukweli Japo Kila Nchi Na Shelia Zake

  • @amadiisaa
    @amadiisaa 7 часов назад

    picha ya mama inausiana nini sasa apo